Tatizo mnaongea kisiasa zaidi,nimewapa maelekezo ya kutumia namba niliyoweka hapo juu,kama ni mtihani mmefeli,ndio mara ya kwanza kupata majibu hasi kama haya..mara ukame mara nini too many silly excuses..mnafananisha holili na jangwa..?WENYE NIA TUNAWASILIANA NAO.