Kiwanja chenye msingi kinauzwa 6.5m

golden pride

JF-Expert Member
Joined
Oct 24, 2014
Posts
847
Reaction score
435
SASA KINAUZWA KWA UTARATIBU WA INSTALLMENTS


Wakuu poleni na majukumu,
Kimfaacho mtu chake. Nauza eneo langu ambalo lina msingi wa nyumba
Sifa za eneo
-Lipo chanika zogo Ali
-Umeme nguzo tayari
-Vyumba vitatu, master moja, dinning, sebule, public toilet,jiko na store
-Ukubwa wa kiwanja 20*20
-Linafikika kwa gari
-Umbali ni 1km kutoka chanika mwisho stand
-Mabaki ya ujenzi, tofali, na kokoto vipo
-Msingi ni imara, nondo 12mm nne kila upande
NB: HIZI NI PICHA ZA 2013,
Nauza kwa sababu ya shida zinazonikabili, bei 6.5m

Hela ya mjumbe na mwenyekiti wa mtaa, nitatoa mimi




 

Attachments

  • IMG-20150716-WA0005[1].jpg
    183.2 KB · Views: 130
vyuma!?
 
Allah akufanyie wepesi.
Je kiwanja kina hati?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…