Habari zenu wadau,
Kuna rafiki yangu m1 anahitaji kununua kiwanja chenye hatii ukubwa angalau 25*35 maeneo ya Tegeta, goba,Bunju, mbweni, mbezi mwisho, kimara, kibamba na kibaha bajeti yake ni Mil 5. mwenye nacho anijulishe ili nimpe mawasiliano na huyo jamaa. Yeye yuko ni mjeda yuko mkoani.
Mkuu mimi ninacho Chanika ila hakina hati ukubwa ni 35 x 28 nitakupunguzia hadi Mil. 3.5 kwa ajili ya kufuatilia hati mwenyewe maana process tayari imeanza ila bado haijakamilika. Kama uko interested ni PM.
Habari zenu wadau,
Kuna rafiki yangu m1 anahitaji kununua kiwanja chenye hatii ukubwa angalau 25*35 maeneo ya Tegeta, goba,Bunju, mbweni, mbezi mwisho, kimara, kibamba na kibaha bajeti yake ni Mil 5. mwenye nacho anijulishe ili nimpe mawasiliano na huyo jamaa. Yeye yuko ni mjeda yuko mkoani.
Mkuu mimi ninacho Chanika ila hakina hati ukubwa ni 35 x 28 nitakupunguzia hadi Mil. 3.5 kwa ajili ya kufuatilia hati mwenyewe maana process tayari imeanza ila bado haijakamilika. Kama uko interested ni PM.
Habari zenu wadau,
Kuna rafiki yangu m1 anahitaji kununua kiwanja chenye hatii ukubwa angalau 25*35 maeneo ya Tegeta, goba,Bunju, mbweni, mbezi mwisho, kimara, kibamba na kibaha bajeti yake ni Mil 5. mwenye nacho anijulishe ili nimpe mawasiliano na huyo jamaa. Yeye yuko ni mjeda yuko mkoani.
Shukrani
Mimi ninavyo viwili vyenye ukubwa wa 35x35 kila kimoja.
Vimepimwa, viko ktk mradi ambapo kuna viwanja zaidi ya 1000 vilivyopimwa - hati ziko ktk mchakato.
Nauza kimoja 10,000,000 Tshs - bei haipungui.
Kipo Kibaha-Visiga
Call 0784593005
Habari zenu wadau,
Kuna rafiki yangu m1 anahitaji kununua kiwanja chenye hatii ukubwa angalau 25*35 maeneo ya Tegeta, goba,Bunju, mbweni, mbezi mwisho, kimara, kibamba na kibaha bajeti yake ni Mil 5. mwenye nacho anijulishe ili nimpe mawasiliano na huyo jamaa. Yeye yuko ni mjeda yuko mkoani.
Mkuu mimi ninacho Chanika ila hakina hati ukubwa ni 35 x 28 nitakupunguzia hadi Mil. 3.5 kwa ajili ya kufuatilia hati mwenyewe maana process tayari imeanza ila bado haijakamilika. Kama uko interested ni PM.
Mkuu kimepimwa? Milioni 3 utachukua?
Kimepimwa? Milioni 3 kinaondoka?Habari zenu wadau,
Kuna rafiki yangu m1 anahitaji kununua kiwanja chenye hatii ukubwa angalau 25*35 maeneo ya Tegeta, goba,Bunju, mbweni, mbezi mwisho, kimara, kibamba na kibaha bajeti yake ni Mil 5. mwenye nacho anijulishe ili nimpe mawasiliano na huyo jamaa. Yeye yuko ni mjeda yuko mkoani.
Mkuu mimi ninacho Chanika ila hakina hati ukubwa ni 35 x 28 nitakupunguzia hadi Mil. 3.5 kwa ajili ya kufuatilia hati mwenyewe maana process tayari imeanza ila bado haijakamilika. Kama uko interested ni PM.
Kimepimwa? Milioni 3 kinaondoka?
Hakijapimwa mkuu. Process ya kupima ndo ilikuwa imeanza unaweza kuiendeleza kama utachukua. Kiwanja ni kizuri kiko eneo zuri la makazi ya watu na umeme umefika, kiko karibu na barabara ya lami, eneo ni tambarare. Bei yake ilikuwa mil. 5 imepunguzwa hadi mil. 3.5 kufidia usumbufu wa kufuatilia kupima na hati mwenyewe. kama uko tayari tuwasiliane kwenye namba 0769 449485 au ni PM