J Mbungi
JF-Expert Member
- Nov 23, 2010
- 269
- 74
Kiwanja cha kujenga chenye HATI kinahitajika maeneo ya Dar Es Salaam Au Bagamoyo.. Mwenye Kiwanja au mwenye kuwa na habari za uhahika..ANI - Tumie meseji (PM) akiwa na data za ukubwa wa kiwanja/mahali kilipo na bei yake ni muhimu sana kutajwa.. Ahsanteni!