Kiwango cha mshahara!

Kiwango cha mshahara!

Olmost

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2014
Posts
340
Reaction score
448
Habari zenu jamani, ni mshahara kiasi gani analipwa teaching staff wa school of st jude ya Arusha, kwa anayejua please!
 
Tatizo la waalimu ndo hilo bado hujapata kazi unaulizia mshara......that's being unserious
 
mil 1.2
ila wana mikazi pale mpaka utatamani kuacha kazi no kupumzika
ni kama shule ya thaqaafa mwanza malipo mazuri ila mziki wake sio mchezo
 
Habari zenu jamani, ni mshahara kiasi gani analipwa teaching staff wa school of st jude ya Arusha, kwa anayejua please!

Wewe nenda kafanye Kazi tu Mkuu Mshahara utaukuta huko huko. Kuna Wenzako wengi tu ambao nina uhakika wamekuzidi Vigezo vyote ila hawakubahatika kama Wewe hivyo Kikubwa Kwanza ni kushukuru kama umepata hiyo Ajira / Kazi na masuala ya mshahara ' yatajiseti ' tu huko huko na kama utakuwa na Utendaji mzuri nina uhakika Bosi wako atakuongezea tu mshahara na maslahi mengine.

Kila la kheri.
 
mil 1.2
ila wana mikazi pale mpaka utatamani kuacha kazi no kupumzika
ni kama shule ya thaqaafa mwanza malipo mazuri ila mziki wake sio mchezo
sasa wewe ulitaka kulipwa mshahara pasipokufanya kazi mkuu?Trump hakukosea kututukana asee
 
mil 1.2
ila wana mikazi pale mpaka utatamani kuacha kazi no kupumzika
ni kama shule ya thaqaafa mwanza malipo mazuri ila mziki wake sio mchezo
Ivi iyo ni Thaqaafa ama ni Thaqibu inavyoitwa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom