Mikoani wanaambiwa watajijua stand wajenge wenyewe kwa pesa zao lakini dar vituo vya mabasi vinasimamiwa na wizara husika, mbona ubaguzi kiasi hiki? huko mikoani wapate wapi pesa angali hata vyanzo vya mapato mmeamua kuvichukua nyie serikali kuu? why dar?