Kama waliweza kuligundua hilo bomu kabla halijalipuka, basi wanastahili pongezi, ila wasibweteke waongeze ulinzi ili watega mabomu wakamatwe kabla hata hawafika maeneo ya watu wengi.
mimi ni mtanzania najua wabongo tulivyo wasani. Siamini kwamba hilo bomu lilitegwa na mtu kutoka nje ni usanii tuu wa kutafuta umaarufu na zawadi kama ipo kwa ajili ya kuligundua bomu hakuna lolote hii ndio bongo.
Mimi ni mtanzania najua wabongo tulivyo wasani. Siamini kwamba hilo bomu lilitegwa na mtu kutoka nje ni usanii tuu wa kutafuta umaarufu na zawadi kama ipo kwa ajili ya kuligundua bomu hakuna lolote hii ndio Bongo.