Wao (viongozi) hawakanyagi kabisa ardhi ya pale mwenge stendi, huwa wanapita wakiwa kwenye magari ya viyoyozi. Hii kwao ni breaking nyuz! Raelly Mwenge hapafai kabisa, kwa mtu mgeni ataingia majaribuni! Ni sawasawa kabisa na Ubungo kipande cha tokea mataa hadi darajani kuelekea Riverside..full kero, hasa nyakati za jioni!