Kituko hospital ya Kisiwani Kigamboni

Kituko hospital ya Kisiwani Kigamboni

mnyama k

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2014
Posts
1,079
Reaction score
344
Ilikuwa midaya saa 6 hivi mchana huu waleo.minilienda kucheck malaria wakati tupo maabara tulianza kuitwa majina mmojammoja ilikuchukuliwa damukidogo ya sample ilikuipima nakujua ainaya ugonjwa mtuanaoumwa. Ikafikazamu ya Dada mmoja aliitwa akaingia maabara maratukasikia makelele nibaada ya mgonjwa kuambiwa lipiakipimo alafuukanunue bomba lakutolea damu. Dada mgonjwa aliwakasana akawaanahoji tena kwasauti yajuukabisa:Nyinyi vipi yaninimelipiavipimo alafumnaniambia nikanunue bomba duka la dawa nje ya hospitali nyie wehunini.basi wotetukabaki midomo wazituna jiuliza inamana hata bomba za kutolea damu hakuna?.Kweli afya zetu zimewekwa rehani!!.
 
Yaani unashangaa haya madogo sana.


Wajawazito_Temeke_Hospital.jpg

WAGONJWA_ZAHANATI_KISAKI[1]_.JPG


Mtabaki na hali zenu kununua hata bomba la sindano, kulala chini kubanana na ukibahatika kupata kitanda cha "TEREMKA TUKAZE" bila hata kutandikwa mkeka.

sisi tunaenda kutibiwa Marekani.

KARAGHABAHO NA UBOZ'I WAKo!!!!!!!


MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
 
Yaani unashangaa haya madogo sana.


View attachment 203559

View attachment 203560


Mtabaki na hali zenu kununua hata bomba la sindano, kulala chini kubanana na ukibahatika kupata kitanda cha "TEREMKA TUKAZE" bila hata kutandikwa mkeka.

sisi tunaenda kutibiwa Marekani.

KARAGHABAHO NA UBOZ'I WAKo!!!!!!!


MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!

Nasio afyatuu hatakwenye elimu tunaambiwa elimuyetu ninzuri!! Lakini huyoanaesema elimunzuri muulize wemwanaoanasoma wapi utaskia yupo china, marekani,au england. Tunatakiwa kuamka na kubadilisha hizi kejeli tunazo tamkiwa na wakuuwetu mchanakweupe.
 
Ni dalili ya serikali sikivu,iliyochaguliwa kwa kishindo na rais wake ni chaguo la mungu. Mimi iko penda sana ziziemu
 
Baba Mungu!

Adhabu ulizotupa kwa kuichagua CCM inatosha sasa!

Tunaomba tu utusamehe!

Hatutarudia!
 
Sioni kituko hapo!

Hivi we mkuu hospitali kamaile kukosa bomba lakutolea damu kwaajili ya vipimo we huonikamanikihoja are u serious? Kamahospitali haina hichokifaa cha kunyonyea damu kwaajili ya uchunguzi than mgowa atapataje tibasahihi.
 
Ilikuwa midaya saa 6 hivi mchana huu waleo.minilienda kucheck malaria wakati tupo maabara tulianza kuitwa majina mmojammoja ilikuchukuliwa damukidogo ya sample ilikuipima nakujua ainaya ugonjwa mtuanaoumwa. Ikafikazamu ya Dada mmoja aliitwa akaingia maabara maratukasikia makelele nibaada ya mgonjwa kuambiwa lipiakipimo alafuukanunue bomba lakutolea damu. Dada mgonjwa aliwakasana akawaanahoji tena kwasauti yajuukabisa:Nyinyi vipi yaninimelipiavipimo alafumnaniambia nikanunue bomba duka la dawa nje ya hospitali nyie wehunini.basi wotetukabaki midomo wazituna jiuliza inamana hata bomba za kutolea damu hakuna?.Kweli afya zetu zimewekwa rehani!!.


Pesa zenyewe za Vipimo unalipa na hakuna Risiti.

 
Nasio afyatuu hatakwenye elimu tunaambiwa elimuyetu ninzuri!! Lakini huyoanaesema elimunzuri muulize wemwanaoanasoma wapi utaskia yupo china, marekani,au england. Tunatakiwa kuamka na kubadilisha hizi kejeli tunazo tamkiwa na wakuuwetu mchanakweupe.

Mimi kama mwalimu sijapendezwa na uandishi wako.
 
Kinachochosha Mgonjwa anakaa kwenye foleni muda mwingi ,akiitwa kuchukuliwa damu anaambiwa hakuna bomba,kama hali imekuwa hivyo ni bora waweke Matangazo milango ya kuingia kwa Madaktari kuwa pindi mgonjwa akiandikiwa kipimo cha Damu basi kabla hajaenda Maabara akanunue Sindano kuliko usumbufu wanaouwafanyia Wagonjwa.


 
Pesa zenyewe za Vipimo unalipa na hakuna Risiti.


Umeonaee hatamihiloswalinilijiuliza baadae pale mapokezi ukilipa buku unapewa risiti lakini kwenye vipimo unalipa halafu hawatoi risiti,hii nchi kilamtuana chukua chake mapema popote alipo.
 
Mnyama. Yaani hiyo sio hosp. Ina vituko kupita maelezo. Hivi bado wanashona wagonjwa bila ganzi? Halafu Dr mleviiiii. Huduma mbovu mnooo hapo. Mimi naishi jirani tu hapo lakini naiogopa kama ukoma.
Nilishawahi kumpeleka mzazi akiwa kwenye uchungu!!! Ilibidi nitoe hela yangu yule mama apate huduma. Sipapendi kabisaaa.
Ila ndio hosp zetu sisi tunaopigia kura CCM.
 
Umeonaee hatamihiloswalinilijiuliza baadae pale mapokezi ukilipa buku unapewa risiti lakini kwenye vipimo unalipa halafu hawatoi risiti,hii nchi kilamtuana chukua chake mapema popote alipo.


Ebu mrushieni Dr. Faustine Ndungulile -Mhe. Mbunge pengine anaweza kuwa na jibu-maelezo!
 
Last edited by a moderator:
Kinachochosha Mgonjwa anakaa kwenye foleni muda mwingi ,akiitwa kuchukuliwa damu anaambiwa hakuna bomba,kama hali imekuwa hivyo ni bora waweke Matangazo milango ya kuingia kwa Madaktari kuwa pindi mgonjwa akiandikiwa kipimo cha Damu basi kabla hajaenda Maabara akanunue Sindano kuliko usumbufu wanaouwafanyia Wagonjwa.



Mkuu tatizo si magonjwa yote yenye kuhitaji vipimo vya aina hiyo, so ukiona tangazo halafu ukaja na bomba la sindano n.k kisha umekaa kwenye foleni kitambo ukaambiwa hivi haviitajiki si ndiyo itakuwa vita!?
 
Mnyama. Yaani hiyo sio hosp. Ina vituko kupita maelezo. Hivi bado wanashona wagonjwa bila ganzi? Halafu Dr mleviiiii. Huduma mbovu mnooo hapo. Mimi naishi jirani tu hapo lakini naiogopa kama ukoma.
Nilishawahi kumpeleka mzazi akiwa kwenye uchungu!!! Ilibidi nitoe hela yangu yule mama apate huduma. Sipapendi kabisaaa.
Ila ndio hosp zetu sisi tunaopigia kura CCM.

Si ndiyo serikali yenu yenye kuwahadaa huduma za watoto wajawazito bure halafu ukifika hospitali unaambiwa hakuna vifaa wala dawa hivyo inabidi kununua mwenyewe!
 
Mimi kama mwalimu sijapendezwa na uandishi wako.

Usinishangae mkuu namimi nimuasirika wa elimu hii ya kayumba. Nisamehe kama nimeandika vibaya na kamakunakosa mahali basi nisahihishe ilinijifunze kitu kutokakwako elimu haina mwisho!!!.
 
Mkuu tatizo si magonjwa yote yenye kuhitaji vipimo vya aina hiyo, so ukiona tangazo halafu ukaja na bomba la sindano n.k kisha umekaa kwenye foleni kitambo ukaambiwa hivi haviitajiki si ndiyo itakuwa vita!?

Kinachochosha Mgonjwa anakaa kwenye foleni muda mwingi ,akiitwa kuchukuliwa damu anaambiwa hakuna bomba,kama hali imekuwa hivyo ni bora waweke Matangazo milango ya kuingia kwa Madaktari kuwa pindi mgonjwa akiandikiwa kipimo cha Damu basi kabla hajaenda Maabara akanunue Sindano kuliko usumbufu wanaouwafanyia Wagonjwa.



Yaani hata hapo hujanisoma?
Basi katika hali ya kawaida tangazo litaweka ufafaanuzi wa aina ya vipimo itakayohitaji sindano.
 
Mnyama. Yaani hiyo sio hosp. Ina vituko kupita maelezo. Hivi bado wanashona wagonjwa bila ganzi? Halafu Dr mleviiiii. Huduma mbovu mnooo hapo. Mimi naishi jirani tu hapo lakini naiogopa kama ukoma.
Nilishawahi kumpeleka mzazi akiwa kwenye uchungu!!! Ilibidi nitoe hela yangu yule mama apate huduma. Sipapendi kabisaaa.
Ila ndio hosp zetu sisi tunaopigia kura CCM.

Mkuu weachatuu nishiida mindio naandaamakazi maeneokaribuna hiihospitali kamakawaida ya hospitali zetu za serikali nilipofika phamas naambiwa hakuna dawa nikauliza hata panadol? Mhmm yule mdada akaniangaliatu hakunijibu nikatoka nikaendanjekununua. Pale nje kunamaduka kibaoyadawa nayana dawa zakilaaina. Sasa jiulize hayamaduka yanayo zunguka kilamahali kwenye hospitali za serikali dawazote wanazipatawapi!!!.
 
Back
Top Bottom