kitu original

Nakumbuka sosoliso alimuhonga Paloma kitu ya hivi, hiyo ukitaka kukata kona lazima ukatafute uwanja ulipo vinginevyo we tembea in one direction tu.
 
Last edited by a moderator:
Nakumbuka sosoliso alimuhonga Paloma kitu ya hivi, hiyo ukitaka kukata kona lazima ukatafute uwanja ulipo vinginevyo we tembea in one direction tu.
Baba V ile niliyomuhonga mai waifu wangu Paloma iko bomba kuliko unavyodhania.. Nimewaajiri mabaunsa wanne kwa ajili ya kuikatisha kona Vogue ile pale ambapo waifu anataka kupinda kona lol..
 
Last edited by a moderator:
Mkuu hiyo imenikumbusha mbali sana wakati ule magari yote ya serikali yalikuwa land rover!
 
Baba V ile niliyomuhonga mai waifu wangu Paloma iko bomba kuliko unavyodhania.. Nimewaajiri mabaunsa wanne kwa ajili ya kuikatisha kona Vogue ile pale ambapo waifu anataka kupinda kona lol..

Hao mabaunsa hakikisha umewahasi.... ni angalizo tu..
 
Last edited by a moderator:
Hiyo kitu iko makini sana, ikikwama hiyo sehemu hata uje na V8 lako hupiti.
 
Baba V ile niliyomuhonga mai waifu wangu Paloma iko bomba kuliko unavyodhania.. Nimewaajiri mabaunsa wanne kwa ajili ya kuikatisha kona Vogue ile pale ambapo waifu anataka kupinda kona lol..

hahahhaaaaa unanchekesha hadi vitwini vimecheka!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…