Boniphace Kichonge
JF-Expert Member
- Jul 31, 2017
- 1,605
- 1,958
Wadau msema ukweli mpenzi wa Mungu,Kitimoto cha hapa Starlight Mianzini wanaita kituo cha 2, nikitamu sijawahi ona popote. Kwanza nilaini kama keki ya Harusi halafu ladha yake pia utadhani unakula ndafu! Jamani hata maandalizi yake niyahali ya juu ukiachia usafi.Sasa raha yake uagize vipande viwili ushushie na ugali then Maji ya kilimanjaro,then ,,,,,,,! Ipo haja ya TBS,TFDA kuanza kutoa tuzo kwa wapika Kitimoto bora. Kwakweli ninamengi ya kuongea ilaniachie hapo kwa sasa. Arusha jamani wee acha tu!
Karibuni.
Karibuni.