Kitila Mkumbo una utani na sisi?

Kumbe wakikurabisha kwenye sofa zao maana yake ndiyo wamekufunga mdomo
 
Amekula kiapo amejifunga, mwacheni afanye kazi.
 
Ili kutatua matatizo yote ya maji tanzania (au nchi yeyote Africa), ni lazima u allocate ya budget ya nchi nzima kwenye kutatua matatizo ya maji....
Alafu nani amesema Kitila angetatua kero ya maji nchi nzima ndani ya budget moja? Thats unrealistic,,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…