kithembe

leo uchi wa mama bokhe ni wabarid sana, siku zote uchi wake huwa ni wa moto ndomana mimi na wambura huwa tunapenda kunywa hata kama ulezi haujakolea
 
ni thithi thithi...........wapare wakihesabiwa kama watoto kumbe ndio wababa wenyewe ila ni kutokana na ufupi
 
Thikupendi thiku hithi natamani nikupe thumu harafu nithepe.
 
Thatha utakunywa juithi au thoda? harafu thoda thiko pepthi tuu.
 
nianze sai nianze nnkate ba, nikianza nkate sain itapoa nikianza sai ntakula nkate nkavu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…