Ambiele Kiviele JF-Expert Member Joined Dec 29, 2014 Posts 15,271 Reaction score 29,934 Dec 15, 2016 #1 Kumsaliti mkeo haimaanishi humpendi! Hii ni kama kukodi taksi na wakati una gari yako nyumbani. Hii inakusaidia kuokoa mataili yasiharibike haraka na hata gari lionekane halijatembea umbali mrefu
Kumsaliti mkeo haimaanishi humpendi! Hii ni kama kukodi taksi na wakati una gari yako nyumbani. Hii inakusaidia kuokoa mataili yasiharibike haraka na hata gari lionekane halijatembea umbali mrefu
Nguya G Member Joined Jun 2, 2016 Posts 7 Reaction score 6 Dec 15, 2016 #2 Ambiele Kiviele said: Kumsaliti mkeo haimaanishi humpendi! Hii ni kama kukodi taksi na wakati una gari yako nyumbani. Hii inakusaidia kuokoa mataili yasiharibike haraka na hata gari lionekane halijatembea umbali mrefu Click to expand... Umetsha asee
Ambiele Kiviele said: Kumsaliti mkeo haimaanishi humpendi! Hii ni kama kukodi taksi na wakati una gari yako nyumbani. Hii inakusaidia kuokoa mataili yasiharibike haraka na hata gari lionekane halijatembea umbali mrefu Click to expand... Umetsha asee
Evelyn Salt JF-Expert Member Joined Jan 5, 2012 Posts 77,105 Reaction score 165,329 Dec 15, 2016 #3 Vivo hivo kumsaliti mume sio kuwa humpendi, kuku mtamu ila kuna siku unamiss mchicha [HASHTAG]#usinikasirikiemie[/HASHTAG]
Vivo hivo kumsaliti mume sio kuwa humpendi, kuku mtamu ila kuna siku unamiss mchicha [HASHTAG]#usinikasirikiemie[/HASHTAG]
mtzmweusi JF-Expert Member Joined Apr 20, 2013 Posts 8,697 Reaction score 9,051 Dec 15, 2016 #4 Evelyn Salt said: Vivo hivo kumsaliti mume sio kuwa humpendi, kuku mtamu ila kuna siku unamiss mchicha [HASHTAG]#usinikasirikiemie[/HASHTAG] Click to expand... naomba umsaliti wako basi kwangu mie
Evelyn Salt said: Vivo hivo kumsaliti mume sio kuwa humpendi, kuku mtamu ila kuna siku unamiss mchicha [HASHTAG]#usinikasirikiemie[/HASHTAG] Click to expand... naomba umsaliti wako basi kwangu mie
Evelyn Salt JF-Expert Member Joined Jan 5, 2012 Posts 77,105 Reaction score 165,329 Dec 15, 2016 #5 mtzmweusi said: naomba umsaliti wako basi kwangu mie Click to expand... Una mchicha au tembele?
mtzmweusi JF-Expert Member Joined Apr 20, 2013 Posts 8,697 Reaction score 9,051 Dec 15, 2016 #6 vyote vipo
Sakayo JF-Expert Member Joined Sep 10, 2015 Posts 56,368 Reaction score 161,463 Dec 16, 2016 #7 Yaani wanaume bwana, mnatumia kila mbinu kuhalalisha Michepuko, ila kibao kikigeuka huwa mnaumia saana na kuona mnaonewa
Yaani wanaume bwana, mnatumia kila mbinu kuhalalisha Michepuko, ila kibao kikigeuka huwa mnaumia saana na kuona mnaonewa
Mtoto halali na hela JF-Expert Member Joined Aug 10, 2012 Posts 53,246 Reaction score 50,468 Dec 16, 2016 #8 Sakayo said: Yaani wanaume bwana, mnatumia kila mbinu kuhalalisha Michepuko, ila kibao kikigeuka huwa mnaumia saana na kuona mnaonewa Click to expand... Mwanamke hupaswi kuchepuka
Sakayo said: Yaani wanaume bwana, mnatumia kila mbinu kuhalalisha Michepuko, ila kibao kikigeuka huwa mnaumia saana na kuona mnaonewa Click to expand... Mwanamke hupaswi kuchepuka
Nokia83 JF-Expert Member Joined Jan 16, 2014 Posts 24,643 Reaction score 44,371 Dec 16, 2016 #9 Mwanamke akichepuka apewe talaka hapohapo
Sakayo JF-Expert Member Joined Sep 10, 2015 Posts 56,368 Reaction score 161,463 Dec 16, 2016 #10 Mtoto halali na hela said: Mwanamke hupaswi kuchepuka Click to expand... Ndo maana nasema, mkuki kwa nguruwe
Mtoto halali na hela said: Mwanamke hupaswi kuchepuka Click to expand... Ndo maana nasema, mkuki kwa nguruwe
Ambiele Kiviele JF-Expert Member Joined Dec 29, 2014 Posts 15,271 Reaction score 29,934 Dec 16, 2016 Thread starter #11 Evelyn Salt said: Vivo hivo kumsaliti mume sio kuwa humpendi, kuku mtamu ila kuna siku unamiss mchicha [HASHTAG]#usinikasirikiemie[/HASHTAG] Click to expand... Ligi Ili Iwe Tam Lazima Ufunge Na Ufungwe
Evelyn Salt said: Vivo hivo kumsaliti mume sio kuwa humpendi, kuku mtamu ila kuna siku unamiss mchicha [HASHTAG]#usinikasirikiemie[/HASHTAG] Click to expand... Ligi Ili Iwe Tam Lazima Ufunge Na Ufungwe
Evelyn Salt JF-Expert Member Joined Jan 5, 2012 Posts 77,105 Reaction score 165,329 Dec 16, 2016 #12 Ambiele Kiviele said: Ligi Ili Iwe Tam Lazima Ufunge Na Ufungwe Click to expand... Na rafu ziwemo ndo pananoga
Ambiele Kiviele said: Ligi Ili Iwe Tam Lazima Ufunge Na Ufungwe Click to expand... Na rafu ziwemo ndo pananoga
A alwatan yusuf JF-Expert Member Joined Nov 20, 2016 Posts 347 Reaction score 290 Dec 16, 2016 #13 Sakayo said: Yaani wanaume bwana, mnatumia kila mbinu kuhalalisha Michepuko, ila kibao kikigeuka huwa mnaumia saana na kuona mnaonewa Click to expand... Mwana mke ukichepuka Malaya mwanamme nikichepuka kidume umeona tofauti
Sakayo said: Yaani wanaume bwana, mnatumia kila mbinu kuhalalisha Michepuko, ila kibao kikigeuka huwa mnaumia saana na kuona mnaonewa Click to expand... Mwana mke ukichepuka Malaya mwanamme nikichepuka kidume umeona tofauti
Atoto JF-Expert Member Joined Jul 19, 2013 Posts 89,493 Reaction score 176,572 Dec 16, 2016 #14 Evelyn Salt said: Vivo hivo kumsaliti mume sio kuwa humpendi, kuku mtamu ila kuna siku unamiss mchicha [HASHTAG]#usinikasirikiemie[/HASHTAG] Click to expand... Kwakweli mwanaume mmoja tuuu anakinaisha jamani, wawe tu waelewa. #siomimininature#
Evelyn Salt said: Vivo hivo kumsaliti mume sio kuwa humpendi, kuku mtamu ila kuna siku unamiss mchicha [HASHTAG]#usinikasirikiemie[/HASHTAG] Click to expand... Kwakweli mwanaume mmoja tuuu anakinaisha jamani, wawe tu waelewa. #siomimininature#
Honey Faith JF-Expert Member Joined Aug 21, 2013 Posts 15,782 Reaction score 11,838 Dec 16, 2016 #15 Evelyn Salt said: Vivo hivo kumsaliti mume sio kuwa humpendi, kuku mtamu ila kuna siku unamiss mchicha [HASHTAG]#usinikasirikiemie[/HASHTAG] Click to expand... Tena mchicha pori ule unakuwa chukuchuku ni mtamu hatareeeee
Evelyn Salt said: Vivo hivo kumsaliti mume sio kuwa humpendi, kuku mtamu ila kuna siku unamiss mchicha [HASHTAG]#usinikasirikiemie[/HASHTAG] Click to expand... Tena mchicha pori ule unakuwa chukuchuku ni mtamu hatareeeee
Evelyn Salt JF-Expert Member Joined Jan 5, 2012 Posts 77,105 Reaction score 165,329 Dec 16, 2016 #16 atoto said: Kwakweli mwanaume mmoja tuuu anakinaisha jamani, wawe tu waelewa. #siomimininature# Click to expand... Ukweli mchungu [HASHTAG]#siomimininature[/HASHTAG]
atoto said: Kwakweli mwanaume mmoja tuuu anakinaisha jamani, wawe tu waelewa. #siomimininature# Click to expand... Ukweli mchungu [HASHTAG]#siomimininature[/HASHTAG]
Sakayo JF-Expert Member Joined Sep 10, 2015 Posts 56,368 Reaction score 161,463 Dec 16, 2016 #17 Abuyusuf said: Mwana mke ukichepuka Malaya mwanamme nikichepuka kidume umeona tofauti Click to expand... Wote malaya tuu hamna jipya hapo
Abuyusuf said: Mwana mke ukichepuka Malaya mwanamme nikichepuka kidume umeona tofauti Click to expand... Wote malaya tuu hamna jipya hapo
Evelyn Salt JF-Expert Member Joined Jan 5, 2012 Posts 77,105 Reaction score 165,329 Dec 16, 2016 #18 Honey Faith said: Tena mchicha pori ule unakuwa chukuchuku ni mtamu hatareeeee Click to expand... Ha ha ha unaula, unakunywa na mchuzi
Honey Faith said: Tena mchicha pori ule unakuwa chukuchuku ni mtamu hatareeeee Click to expand... Ha ha ha unaula, unakunywa na mchuzi
N ndege JOHN JF-Expert Member Joined Aug 5, 2015 Posts 23,712 Reaction score 57,223 Dec 16, 2016 #19 Spending kuzisikia hizi habari za kusalitiana huwa zinanipa hofu naanza kuwa na wasiwasi na huyu niliyenaye
Spending kuzisikia hizi habari za kusalitiana huwa zinanipa hofu naanza kuwa na wasiwasi na huyu niliyenaye
Atoto JF-Expert Member Joined Jul 19, 2013 Posts 89,493 Reaction score 176,572 Dec 16, 2016 #20 Honey Faith said: Tena mchicha pori ule unakuwa chukuchuku ni mtamu hatareeeee Click to expand... Yaani acha kabisa.
Honey Faith said: Tena mchicha pori ule unakuwa chukuchuku ni mtamu hatareeeee Click to expand... Yaani acha kabisa.