JokaKuu
Platinum Member
- Jul 31, 2006
- 30,441
- 55,018
Uzoefu wake utumike kama mshauli kwa watu wenye nguvu na Nchi kwa ujumla yeye apumzike awaachie vijana
Hatutaki speaker atakaekua anaenda India kutibiwa kila siku kwa kodi za watanzania kwa umri alionao
..hata vijana wanaugua na kutibiwa India.