mkuu ni Pm namba yako na niambie unakaa mtaa gani nije kuzoa vyote hivyo, na kuna kingine ambacho umekisaha utaongezea hapoKitanda cha mbao 5*6 box design-200,000/=,dressing table simple ya mbao-80,000/=, laptop acer portable nyeusi-275,000/=, sofa leather la watu wawili hadi watatu-85,000/=kwa anayehitaji nakutumia picha pm, makubaliano yanaruhusiwa, kuhama na vitu kwenda mkoa mwingine ni shida,ukihitaji picha na ku pm, asanteni
Umekubaliana na bei au?mkuu ni Pm namba yako na niambie unakaa mtaa gani nije kuzoa vyote hivyo, na kuna kingine ambacho umekisaha utaongezea hapo
Sorry I was joking kabla hujaboresha tangazo lako! Next time zingatia mapema picha, bei, aina na mahali ulipo!Jiko la mkaa lipo?
Kwani ni lazima uwe na laptop mmoja mkuuhuko dodoma utatumia laptop gani kama hii unauza??
Kingine ni techno boom j8mkuu ni Pm namba yako na niambie unakaa mtaa gani nije kuzoa vyote hivyo, na kuna kingine ambacho umekisaha utaongezea hapo
kiukweli hivyo vitu havivitii kabisa, vya kizamani mnoNimeangalia hivyo vitu vyako naona kama haviuziki kabisa..!!
sasa hilo ni sofa au makazi ya panya..?
Na hiyo ni laptop au tv tumbo?
Anyway labda camera uliyo tumia haina ubora, acha tuamini hivyo..
oya nitumie picha pm za hy sofa na dresing table na bei zake au whatsap no 0659865639Nipo Dsm kwa sasa
Ndyo maana hata bei zake za kizamanikiukweli hivyo vitu havivitii kabisa, vya kizamani mno
Camera ni ya kizamani vitauzika tu hata kwa bei ya kutupwaNimeangalia hivyo vitu vyako naona kama haviuziki kabisa..!!
sasa hilo ni sofa au makazi ya panya..?
Na hiyo ni laptop au tv tumbo?
Anyway labda camera uliyo tumia haina ubora, acha tuamini hivyo..
Asante sana nataka nisivitupe walau nipate chochoteSorry I was joking kabla hujaboresha tangazo lako! Next time zingatia mapema picha, bei, aina na mahali ulipo!
Nimepoteaje wabongo kupita kimya kimya ni shida, mbona watu watajitokeza na wanahitaji kama wewe unavyo vya kisasa kaa kimya dharau haifaiJamaa umepotea
Na 200,000/= vp huchukuiLaptop ina hdd ngap
Sasa unasema ufatwe pm mbona huko hujibu sasaNimepoteaje wabongo kupita kimya kimya ni shida, mbona watu watajitokeza na wanahitaji kama wewe unavyo vya kisasa kaa kimya dharau haifai
TutaongeaNa 200,000/= vp huchukui
NimekujibuSasa unasema ufatwe pm mbona huko hujibu sasa
Kufuri mkuu ila haziuzwiMkuu kwenye kioo kinachoonekana kimetundikwa nyuma ya mlango ni kitu gani aisee najaribu kupepesa macho nshashindwa kung'amua dah ntaaza kuula mchicha sooon.
Samahani lakini kama ntakuwa nimeenda nje ya mada maana hata kwenye mambo mengine bonus huwepo!