Je? Hakizai haramu?
Kitanda cha 5*6 KINAUZWA.
Bei ni 150000 kiko Moro
PM for details
Je? Hakizai haramu?
Je? Hakizai haramu?
Je? Hakizai haramu?
Kipya au...
hahahahaha kuna watu mnahitaji matibabu wallah
1.weka picha
2.mito na mashuka unabaki nayo au unauza...?
3.kitandani cha mbao au cha chuma?
4.vp khs kunguni?
5.old model au new model?
6.vp kina risit?
7.made in china au made in Tanzania?
8.kimetumika muda gani?
9.sababu za kuuza?
10.ni cha spring au cha maji au chaga za kawaida?
Kama hayo majibu unayo nipo arusha ntahitaji kutumiwa....
Haya maswali kamuulize Bibi yako,nafikiri atakuwa na majibu ya kutosha
mbona kiburi bwana mdogo? unauza kitanda au huuzi?
kama huwezi kuongea na mteja vizuri its better ukavunga usifanye biashara kabisa...
ungeweka picha ningekuwa sina maswali.
Huna hela wewe longo longo nyingi,an empty can is the one that makes the most noise
Huna hela wewe longo longo nyingi,an empty can is the one that makes the most noise
Huna hela wewe
longo longo nyingi,an empty can is the one that makes the
most noise
miagie dislike this
tehe tehe nimepata msemo mpya