Kitanda hiki naweza kukipata wapi hapa Dar?

Kitanda hiki naweza kukipata wapi hapa Dar?

Kawe kuna mafundi wengi sana wa vitanda bora na vyenye mvuto vya chuma
 
Usisahau kununua FIRST AID KIT make vitanda hivyo na majeraha ni mtu na nduguye!
 
Click metaltanzania instagram hautajutia hela yako.. wanatengeneza unavyotaka
ASANTE sana mkuu; lakini maskani wanakopatikana ni wapi? I mean ni sehemu gani hapa dar nataka niende physically
 
Mkuu sasa ukinunua
Hicho kitanda wakija,wagen wa2 wakike,na wakiume utawalaza hicho chumba
Kimoja cha wagen

[Color= yellow]Triple A[/color]
 
Mkuu sasa ukinunua
Hicho kitanda wakija,wagen wa2 wakike,na wakiume utawalaza hicho chumba
Kimoja cha wagen

[Color= yellow]Triple A[/color]
Mmoja juu na mwingine chini

Sent from my TV
 
Wana Jf wote ;
Habari zenu ndugu zangu!

Naomba mnifahamishe je kitanda kama hiki kinachoonekana hapa chini naweza kukipata wapi kwa hapa Dar ? Au kiwanda kinachotengeza hivyo vitanda.

Binafsi nahitaji kama vitanda vitatu kwa matumizi ya familia - watoto wa kiume, wa kike, na emergency kwa mgeni akinitembelea. Sipendi watoto walale kitanda kimoja au mgeni yeyote kulala chumba au kitanda kimoja na mtoto wangu.

View attachment 549816 View attachment 549816 View attachment 549816
Unataka vingapi? Nicheck kw no. 0713118737

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wana Jf wote ;
Habari zenu ndugu zangu!

Naomba mnifahamishe je kitanda kama hiki kinachoonekana hapa chini naweza kukipata wapi kwa hapa Dar ? Au kiwanda kinachotengeza hivyo vitanda.

Binafsi nahitaji kama vitanda vitatu kwa matumizi ya familia - watoto wa kiume, wa kike, na emergency kwa mgeni akinitembelea. Sipendi watoto walale kitanda kimoja au mgeni yeyote kulala chumba au kitanda kimoja na mtoto wangu.

View attachment 549816 View attachment 549816 View attachment 549816
Ipo siku utataka mwanao akae kwenye dunia yake peke yake!
Hata makaburini marehemu wana majirani.
 
unaweza kutengeneza kama hivyo au ndio unataka kunifanyia udalali? be serious elezea vizuri hapa ili hata kama kuna wengine waweze kukutafuta.

Mimi nitakucheki lakini elezea na kama una picha ya kazi ulizofanya weka hapa iili watu waone wavutiwe nazo.
Nilikuwa na hostel nimeifunga dat's y nimekuuliza unataka vingapi

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom