KITABU, sheria na haki za WANANDOA.

Mpeni sifa Yesu

JF-Expert Member
Joined
May 23, 2010
Posts
646
Reaction score
130
SHERIA KWA KISWAHILI

unaweza kukipata KASE BOOK STORE ARUSHA, PERAMIHO BOOKSHOP SONGEA,TPH BOOKSHOP POSTA DSM, IMALASEKO SUPERMARKET DSM, VICTORIA BOOKSHOP MWANZA, BOOKPOINT MWANZA, ROYAL SUPERMARKET KAHAMA NA MAENEO MENGINE KAMA YALIVYOORODHESHWA KWENYE BLOG

SHERIA KWA KISWAHILI
 
softcopy hatutoi, kinauzwa na tunajua tukiweka softcopy tu hapa, hakitauzika tena. tunazo hard copy tu, na hata softcopy tulizonazo ziko na password ambayo mtu mmoja tu ndiyo anayo, yaani mimi ninayeandika. SHERIA KWA KISWAHILI

Mkuu, nilipokuulizia softcopy sikumaanisha nataka bure. Hivi haiwezekani kuuza ebooks? tunakoelekea mtoto wa darasa la kwanza atatakiwa kwenda na laptop shuleni ambayo ndiyo itakuwa ni daftari na kitabu chake. Unaweza kabisa kuuza soft copy na mtu asikuibie, ni wewe tu unatakiwa ujipange.
 
soft copy hatuuzi hata kwa milioni. hii iko wazi hatuhitaji kujadili inaeleweka tu. karibu.
 
Duhh muuzaji kitabu mkali huyo. Duhh biashara itaenda kweli kwa hayo majibu???
 
Duhh muuzaji kitabu mkali huyo. Duhh biashara itaenda kweli kwa hayo majibu???
hahaha, biashara inaenda vizuri sana. kwa wale wa Arusha kila mwezi tunatuma box la vitabu si chini ya 100 kwenda pale KASE BOOK STORE na vinaisha vyote, watu wa Moshi na Arusha wote wananunua pale Kase book store.

hapa dsm, TPH na imalaseko posta. kwa kifupi ni kwamba, hatuuzi softcopy kwasababu hiyo haitakuwa biashara, ila tuko njiani kuunda electronic purchasing system kwa njia ya MPESA, tigopesa au airtelmoney atakayenunua tutamletea hadi nyumbani au ofisini kwake. hatujaona umuhimu wa kuuza kwa electronic banking kwasababu soko kubwa ni hapa tz na mabank yenyewe ya hapa kwetu bongo ndio kama unavyoyajua. hata hivyo bado tunaconsider hili pia kwasababu kuna vitabu vingine vinakuja vitakavyokuwa vimeandikwa kwa kiingereza ambavyo havitahusu watz peke yake, hata watu wa nchi za nje. karibuni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…