Hizi figisu zilianza toka mwezi wa sita ili jengo walilisimamisha, et limekabiliwa na ufisadi pia usanifu wake haujakidhi viwango vya kimataifa, sasa walikuwa wapi kuzuia toka mwanzo?
Hizi figisu zilianza toka mwezi wa sita ili jengo walilisimamisha, et limekabiliwa na ufisadi pia usanifu wake haujakidhi viwango vya kimataifa, sasa walikuwa wapi kuzuia toka mwanzo?
Hapo ndo shida inapoanzia watu wanashindwa kua accountable na wanachokifanya
Kwa sababu had limefika hapo lilipo walikua wanaliona iweje ghafla waseme TAA haijashilikishwa