Fundi kitasa
JF-Expert Member
- Mar 17, 2021
- 2,626
- 7,180
Kama bado mnapokea misaada ya chakula mm uniambii lolote na iyo mi Bp yako sijui gdpkwanza size ya uchumi ya kenya ni $109B (3rd in sub-sahara africa), na tz ni $60B. hiyo ni karibu mara mbili.. tena ikizingatiwa kuwa idadi ya kenya ni 47M na tz ni 56M, GDP per capita ya kenya ni $2,300 na tz ni $1,176.. (tu mumeingia uchumi wa kati juzi, ikakua bonge la sherehe tz). HDI ya kenya ni 0.61(medium) na tz 0.52(low) so iweje hasa waTz wanazidi wa kenya kwa kiwango cha maisha (lifestyle). chief, hio itakua ni ndoto
Haya toa pia ya USA and Japan utuambie wamebaki na ngapi? Akili zako zimeoza wewe.With debt to GDP ratio of 95% suppose we deduct debt, u remain with 5% of that $106 bln for Kenya! Now deduct 30% of $65 bln for Tanzania to see who is the king in the region!
GDP ya Kenya is two times bigger than the one in Tanzania.Kama bado mnapokea misaada ya chakula mm uniambii lolote na iyo mi Bp yako sijui gdp
Japan dept ni 200% of gdp lakini poverty uko ni vocabularyHaya toa pia ya USA and Japan utuambie wamebaki na ngapi? Akili zako zimeoza wewe.
Kama bado mnapokea misaada ya chakula mmuo uniambii lolote na iyo mi Bp yako sijui gdp
Sasa wewe fundi kitasa Bora sisi au bora wao ndo maana tunaitwa wadanganyika tunaaminishwa sisi ni matajiri lakini hamna kitu...hapo yenyewe unakuta hujala mmepandishiwa bei ya vivurushi kidogo mmeanza kubwabwajaππKama bado mnapokea misaada ya chakula mm uniambii lolote na iyo mi Bp yako sijui gdp
Dubai/UAE na Saudia wanapokea chakula yao yote toka nje lakini....... yatafakari hayoKama bado mnapokea misaada ya chakula mm uniambii lolote na iyo mi Bp yako sijui gdp
ee bwana ee.. hicho kiswahili chako kidogo kimenizingua, kimekomaa kimashahiri, kimeenda shule.. kimekolea.. hataa sisemi kitu mie. sisi wanakenya naomba mtupeleke skuliI
Sasa wewe fundi kitasa Bora sisi au bora wao ndo maana tunaitwa wadanganyika tunaaminishwa sisi ni matajiri lakini hamna kitu...hapo yenyewe unakuta hujala mmepandishiwa bei ya vivurushi kidogo mmeanza kubwabwajaππ
Umaskini umewajaa Kazi kujilinganisha Na Kenya hawawatu wametuzidi sana
hapo ndipo! π. nadhaani hiyo volume iko sawaData ni statistics unazohitaji kufanya research ili upate conclusion lazima uwe Na data ya watu wangapi ulionao Na wangapi wako chini ya poverty line Kwa data tulizonazo tz mnaongoza Kwa maskini wengiπSasa wewe unaniletea magazeti
Alafu usisahau Kenya ni nchi ya kidemokrasia Na uhuru wa habari ulivoona hapo 1.4 million people wamepewa chakula usidhan bongo watu wote Wana Maisha mazuri
Unajua watu wangapi bongo hawana uhakika wa Kula mara tatu tuanzia Kwa hapa dar usiongelee mikoani
Huku hamna uhuru wa habari upate taarifa kama hizo au ulisahau mwendazake alisema mkuu wa mkoa atakayesema mkoa wake una njaa Kazi hana unafkiri bongo watu hawana njaa ni taarifa zinafichwa tu mzee
Tatizo unatumia bichwa lako kubebea kuni sio kufikiria we tangu lini umeskia uae wanapewa misaada ya chakula π€π π , hao waliwaletea hivyo vyakula vya msaaadaDubai/UAE na Saudia wanapokea chakula yao yote toka nje lakini....... yatafakari hayo
Watu mmekalia magdp tuuu akati mnakufaa njaa ebu niondolee akili yako ya msaada hapaa, siku mkiwa na sustainable food supply njoo ujitambe hapaa ila kwa sasaivi endelea kula githeriGDP ya Kenya is two times bigger than the one in Tanzania.
Sasa wao wanaaminshwa matajiri alafu wanakufa na njaa wapi na wapi Acha kukaza fuvu mzee hujazuiliwa kuhamia KenyaI
Sasa wewe fundi kitasa Bora sisi au bora wao ndo maana tunaitwa wadanganyika tunaaminishwa sisi ni matajiri lakini hamna kitu...hapo yenyewe unakuta hujala mmepandishiwa bei ya vivurushi kidogo mmeanza kubwabwajaππ
Umaskini umewajaa Kazi kujilinganisha Na Kenya hawawatu wametuzidi sana
Kwenye hii sekta tushafunika mabakuli watabakia kutuchungulia tuuUpdate: PAX Terminal Mwanza Airport
Ila kumbuka kwamba mfumo unaotumia Dar umeanzia Mwanza ukisikia Mwanza city jua hiyo ni manispaa moja ya Nyamagana na Mwanza ina manispaa tatu(ilemela,nyamagana,kisesa)ambazo kila moja ni sawa na Arusha na Kisumu wendelea kupiga kelele ila kumbuka kuna watalamu wa haya mambo.We umeona Hilo
Kama Jana nilikua pale sanawari mjini kabisa naona traffic lights lakini naambiwa nipo arumeru
Sensa ya 2012 Arusha ilikua Na population ya 400k Na Zaidi kwenye eneo la 93kmsq tu Na population density ilikua inakimbizia ile ya baadhi ya manispaa za dar Na ndio maana ukiwa Arusha unapata ile vibe ya town hasa Mwanza ilikua Na 700k kwenye eneo la 422kmsq Sasa unaweza kuona tu maeneo mengi Sana kama kisongo tengeru USA mianzini sanawari hata mushono hayakuhesabiwa bt still tukawa mji wa 3
2014 walianza kuchora masterplans za arusha Na Mwanza kuja kugundua Arusha imetanuka Sana nje ya proper city boundaries kwahiyo eneo la mjini la arusha ni 608kmsq while mwanza ni 422kmsq ile ile
Sisi ni wazalendo hasa ila mwanza haina misuli ya kushindana Na Kisumu hata kidogo tumeamua kuja huku ili tuokoe jahaziπ atleast arusha and Kisumu could make sense
ONLY GREAT THINKERS WOULD UNDERSTAND THIS
Utapiga kelele sana na kupanga malink ya kinafiki ila ukweli unaujua.Kawaida yenu wakenya nikujimwambafy kama mwanamke malaya.Hiyo nairobi haifkii Addis au Dar hata kidogo.Swala la Mwanza hamujaanza leo kupiga kelele ila kipigo kiko palepale.Wataalamu wanasema Mwanza ndo best and developed city after Dar and largest city after Kampala city at the lake zone.Sasa wewe la saba kilaza na nane kilaza sijui unaanzia wapi kuwapinga watalaam,pumbavu sanaπππMwanza ni size ya Kisii we acha zako. East African cities is like below
Nairobi
Addis Ababa
Dar
Mombasa
Kampala
Kisumu
Arusha
Nakuru
Eldoret
Mwanza
Nmeshangaa sana hii town ya mwanza iko na mabarabara kama za estate na inaitwa city,village lifestyle too...
No dual carriageway roads.
Msafara wa Magufuli evidence tupu.
Siku Utakuja kutembea Kisumu utajihurumia na hio Mwanza yakoRock city sio ya kulinganisha viji vinavyotumia baiskeli kama usafiri wa umma.Mwanza ni habari nyingine hiyo Eldoret haifiki hata nusu ya Arusha labala kidogo Kisumu na Arusha city.
View attachment 1739483
View attachment 1739484
View attachment 1739487
Kuwa mMlimani city mall imejengwa na mtu binafsi?
ππnimeikubali.. sisemi kitu.. ππ kongolee kwa hawa wanaTzii
Hii kisumu size yake ni jiji la Tanga, hakuna cha ajabu hapo.Siku Utakuja kutembea Kisumu utajihurumia na hio Mwanza yako.
Kisumu sahii ni moto ya kuotea mbali. Very developed. View attachment 1760128View attachment 1760129View attachment 1760131View attachment 1760130View attachment 1760132View attachment 1760133View attachment 1760134View attachment 1760135View attachment 1760136View attachment 1760137View attachment 1760139View attachment 1760140View attachment 1760142View attachment 1760141View attachment 1760143View attachment 1760144View attachment 1760149View attachment 1760148View attachment 1760150View attachment 1760147View attachment 1760151View attachment 1760152View attachment 1760155View attachment 1760156View attachment 1760154View attachment 1760153View attachment 1760157View attachment 1760159View attachment 1760158
Wape habari yao hao wazandiki waache kudemka.Utapiga kelele sana na kupanga malink ya kinafiki ila ukweli unaujua.Kawaida yenu wakenya nikujimwambafy kama mwanamke malaya.Hiyo nairobi haifkii Addis au Dar hata kidogo.Swala la Mwanza hamujaanza leo kupiga kelele ila kipigo kiko palepale.Wataalamu wanasema Mwanza ndo best and developed city after Dar and largest city after Kampala city at the lake zone.Sasa wewe la saba kilaza na nane kilaza sijui unaanzia wapi kuwapinga watalaam,pumbavu sanaπππ