we mwana koma weee......... sosoliso hajawahi kutembelewa na hivyo vijidudu!!!
we mwana koma weee......... sosoliso hajawahi kutembelewa na hivyo vijidudu!!!
ameshapona! maana nimemkuta bikira safi!!! chezea vitunguu saumu na pilipili (sijui mbuzi au pilipili hoho - :wink2:
Kanunua za kichina.
huu ugonjwa wa kisonono aisee unanisononesha sana na kunipa mawazo sababu anarudi toka safari na akirudi lazima atataka penzi maana analalamika kwamba nyege alizokua nazo akirudi anataka kama siku 2 kuzimaliza na mimi mjegeja wangu una mapele kiasi kwamba nikivua nguo tu mshtuko atakaoupata huenda akazimia msaada plz jinsi ya kutatua huu msala