Kishika uchumba kimerudishwa

 
Hivi kishika uchumba cha laki 5 ndio ile pesa wanasemaga inatiwa ndani ya barua ili ombi lako lisikilizwe na upande wa kikeni?
 

Binti ajitafakari hapo anamatatizo uyo
n an familia yake asije badaee akaenda kushinda kwa Mwamposa tu
 
Hivi,mahali yote hiyo,ni bikra? Hivi,hao wazazi wanajua tunawaondolea tu mizigo ma kwao na kujionyesha! Wana habari watoto wao wameolewa na kuachika kisirisiri zaidi ya mara mia? Na hapo wakichukuliwa wanaendela kuolewa na watu wengine!? Sasa basi,bora kila aliegegeda nae achangie,maana najua watarudiana tu kisirisiri
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…