Kwanini hao Raia wasitumie ule mlango mkuu kuingia? Wao kitu ambacho hawataki ni raia kupita kule kwenye michongoma wakikukamata lazima wakutese. Huwa hawataki watu kupita kule vichochoroni kwa kuogopa uhalifu.
Kwanini hao Raia wasitumie ule mlango mkuu kuingia? Wao kitu ambacho hawataki ni raia kupita kule kwenye michongoma wakikukamata lazima wakutese. Huwa hawataki watu kupita kule vichochoroni kwa kuogopa uhalifu.