kisa cha mchungaji mchaga

tindikalikali

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2011
Posts
4,854
Reaction score
1,139
Mchungaj: Nasema pepo toka katika jina la Yesu!
Pepo: sitoki!!!
Mchungaji: shindwa pepo! Toka na mwache huyu mtumishi wa Mungu!
Pepo: sitoki. Nimemwingia huyu mtu ili ashinde bahati nasibu ya milioni 100!
Mchungaji(mchaga): toka shetan nasema toka haraka na uniingie mimi mara moja!
 
watawashitaki wachaga,mmewaandama wiki nzima!mbona waha hamuwasemi na wakinga!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…