Nilikutana na huyu mama mtu mzima wa miaka zaidi ya 75, aliyefiwa na mwanae pekee aliyekuwa anamjali sana.
Alikuwa na wanawe wengine watatu ambao kiukweli walionekana ni mzigo kwake, kwani walikuwa walevi na wasio na msaada kwa mama huyu zaidi ya hata wakati mwingine kumwibia au kumpora kile kidogo alichokua nacho ili tu wakapate pombe!
Nakumbuka sana yule alivyokuwa analia kwa uchungu huku akisema "Mungu wangu umemchukua yule aliyenijali na kunitunza ukaniachia mapumbavu!.."
Ilinitia simanzi lakini nikakumbuka mapenzi ya Mungu hayahojowi na mara Zote Mungu hakosei.
Tujifunze kumshukuru Mungu kwa kila jambo!
Alikuwa na wanawe wengine watatu ambao kiukweli walionekana ni mzigo kwake, kwani walikuwa walevi na wasio na msaada kwa mama huyu zaidi ya hata wakati mwingine kumwibia au kumpora kile kidogo alichokua nacho ili tu wakapate pombe!
Nakumbuka sana yule alivyokuwa analia kwa uchungu huku akisema "Mungu wangu umemchukua yule aliyenijali na kunitunza ukaniachia mapumbavu!.."
Ilinitia simanzi lakini nikakumbuka mapenzi ya Mungu hayahojowi na mara Zote Mungu hakosei.
Tujifunze kumshukuru Mungu kwa kila jambo!