Kisa cha kibibi kilichopinda mdomo

Status
Not open for further replies.

macho_mdiliko

Platinum Member
Joined
Mar 10, 2008
Posts
29,222
Reaction score
60,279
Naam katika siku nyingine tena, naitafakari siasa katika sura yake halisi hasa siasa za chama tawala kwa yale ambayo yanaendelea huko na tafakuri yangu hiyo imenifanya nikumbuke kisa cha zamani ambacho niliwahi kukisoma katika moja ya vitabu mashuhuri vya hadithi pindi nikiwa shule ya msingi. Kisa cha Kibibi kilichopinda mdomo; kisa chenyewe ni hiki kifuatacho.

Kwa kila ambaye ni mmoja wa great thinker atakuwa amepata picha ni kitu gani nakifananisha na kisa hiki kitamu, ambacho mwisho wake ni kwamba KIBIBI kimepata msongo wa mawazo wa kudumu kwa fikra zake fupi za kudhani kuwa wapinzania wote ni majuha na hakuna mwerevu mpaka pale walipomtimuwa.
 
Kibibi kinatumika tu sasa huko magambani sijui nacho kimeshaluwa mzigo...watakireject sasa hv
 
Watu hajaelewa hiki kisa coz vijana wengi hawana akili pana ya kujaji mambo
 
Ha!!! Story nzuri mno ngoja nimsimulie mwanangu
 
Hahahaa! Kibibi Shonza.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…