Kirusi cha UKAWA chaiandama ccm; mahakama ya kisutu yakana kuhusika na Zuio la juzi.

Mtarban

JF-Expert Member
Jan 14, 2015
3,818
5,007
5dca1e45efd7e0e521210af5f2a9502b.jpg
 
Muwe angalau mnaandika kwa ufupi kufafanua hivyo vichwa vya habari. Sio wote wenye access ya magazeti hayo.
 
Waje Sasa Wale Waliokuwa Wakitoa MAPOVU Kwa Kutetea Ulaghai Na Utapeli Wa CCM!!!
 
Huku dhuluma inatendeka waziwazi halafu viongozi wa nchi wanasimama kila siku na kuomba waombewe, niombeeni, niombeeni, labda sasa aseme wana ccm wenzangu niombeeni, marais wenzangu mlio tangulia niombeeni nikitetee chama bila kujali utu wa mtu, aeleweke aache unafiki wa ku panua pua kila anapopigiwa makofi na vigelegele, unafiki mbaya sana kwa kweli.
 
Back
Top Bottom