Kipofu huota?

Huyo farasi kamjua wap?mpaka aweke image mtu anafanana na farasi
Kumbe unafikiri Ukimuhadithia kipofu juu ya mtu, yeye hua anajengaga picha kua mtu anafanana na hewa??
Farasi nimetoa mfano tu, lakini lazima kipofu atajenga taswira ya kua mtu anaehadithiwa anafanana na kiumbe fulani hivi (kiwe kipo au hakipo hicho kiumbe)
 
Sayansi inasema hivi....mtu hana uwezo wa kuota taswira mpya au ubongo wa mwanadamu hauna uwezo wa kujenga au kutengeneza taswira mpya ya kitu au mtu,chochote uotacho ni lazima umekiona au uyo mtu umemuona in any how.

Sasa turudi katika topic: kuota ni kurudia rudia yale uliyoona na kuyatafakari baada ya kuona sasa kipofu wa kuzaliwa anao uwezo wa kuota wa yale ya asili ambayo mtu wa kawaida naye huota pia. Ndo hapa unakuja katika ndoto ya aina ya 3 ambayo wengi mnaisikia inayoitwa DEJA VU.

NAWASILISHA.
 
atajuaje anafukuzwa na simba huku simba hamjui?!
 
habari zenu wana jf..?

swali langu ni je mtu aliyezaliwa kipofu anaweza kuota ndoto..?
i mean toka amezaliwa mpaka amekuwa hajawahi kuona(kipofu).

karibuni...
Unajua hata watoto wadogo wanaota hata kabla hawajazaliwa?
 
kwa nini asiote??ndoto huoti sababu ya unavyoviona bali mara nyingi mtu huota sababu ya vitu vinavyotawala sana mawazo yako,na bila shaka nao huwaza hupenda huchukia nk hayo mambo yainaweza kuwapelekea kuota
sawa kuota ataota sa kwenye hiyo ndoto ataona na picha..?
 
Kile Unachokiwaza kukifikira sana pia kimekutawala kichwani ndicho unachokiota haijalishi Unaona au Kipofu.
 
Asante kwa maelezo yako

ningependa unambie hizo ndoto za DEJA VU zinakuwaje..?
 
sawa kuota ataota sa kwenye hiyo ndoto ataona na picha..?
anajenga na picha ya kufikirika imagine kama kipofu kafanya mapenzi na mwanamke na labda hajayaona maziwa nk ila lazima ndotoni atakumbuka kuhusa umbo la hayo maziwa kama aliyashika,
 
anajenga na picha ya kufikirika imagine kama kipofu kafanya mapenzi na mwanamke na labda hajayaona maziwa nk ila lazima ndotoni atakumbuka kuhusa umbo la hayo maziwa kama aliyashika,
nafkr nkpata kipofu nkamuhoji anaweza kunambia haya ila tatizo atahisi kama namkejeli.
et wengine husema kipofu huota audio tu haoni video..!! duuh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…