Kipindi cha kama tupo kumbe tumekufa

Radio Producer

JF-Expert Member
Feb 4, 2011
724
295
Msikilizaji huwezi kuamini kuwa leo hii nimekuandalia mada kambambe ya kutazama na kutema, nikufuatia wanadamu wengi kujiingiza katika masuala ya urembo, majivuno na kuona kama yeye ni binadamu wa chuma amabye hataondoka hapa tambarare! Hebu shusha jicho lako hapo chini ujionee picha hii kuwa nao walikuwa binadamu kama wewe kisha unaruhusiwa kusema chochote! Kukuletea kipindi hiki ni mimi RADIO PRODUCER karibu!

Kwamawasiliano zaidi dondosha hoja yako kwenye PM au radioproducer@rediff.com Asanteni!
 

Attachments

  • maiti.jpg
    maiti.jpg
    64.5 KB · Views: 219
Radio Producer, what are you up to?

Kifo hakiwezi kubali tabia ya binaadamu? Ndiyo maana mnaenda kwenye msiba wa mtu aliyekufa kwa ngoma, usiku huo huo watu wanachapana live hapo hapo msibani!
 
Radio Producer, what are you up to?

Kifo hakiwezi kubali tabia ya binaadamu? Ndiyo maana mnaenda kwenye msiba wa mtu aliyekufa kwa ngoma, usiku huo huo watu wanachapana live hapo hapo msibani!

May this picture will make people sad and they can remember even a bit that death must comes! That is enough:sick:
 
Back
Top Bottom