sio uoga mkuu_ni mambo ya taadhari tu hayo,..unajua unavyoishi kwenye nyumba ya vioo usianzishe ugonvi wa mawe,...wakinuna hawana mchezo hao,....nafikiri bado hauko sahihi kuhusu suala la mapenzi kua upendo ni hela bana,...subiri utayaona ukikosa hela shemeji atakavyo respond