Tuache ubishi mwingine usio na maana, charlo kuleta mada hii hapa ni kwa ajili ya kusaidia sio kupaka matope kama unavyodhani ndo maana kasema Wizara ichukue hatua kurekebisha.
KAMA WATOTO WA SHULE ZOTE ZA DAR WANACHAPWA KWA HIYO UNATAKA KUSEMA WATOTO WA KINONDONI MUSLIM NI HALALI NA WAO KUCHAPWA. AU NA WEWE NI MDAU?
Tuache porojo, unataka data, data gani wakati kakuletea information, take actions guy.Unataka picha za tendo la ngonoi? au unataka picha za gest House, nani kakuambia wanaingia nyumba moja kila siku au una wasiwasi asijetaja nyumba yako? Nimekuambia mimi kalishajilengesha kamoja nikakashit.
Endeleea na kudai data zako watoto wakiendelea kuteketea.
Kinondoni Muslim na wizara chukueni hatua za makusudi kuchunguza hili.