Jamani nisaidieni huyu mrema wa register ya mahakama ya appeal ni nani hapa arusha? Anatesa watu sana ebu nisaidieni nani yuko nyuma yake. Kwanza anafanya kazi kwa kupenda. Mbili anairikadi ya kisiasa ndani ya ofisi ya serikali. Nijuzeni kama mnamfahamu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.