MKWEPA KODI JF-Expert Member Nov 28, 2015 28,701 71,051 Apr 4, 2017 #2 Hahahaha hao wazee sio wa kuchezea, ccm walichanganyikiwa
Mgirik JF-Expert Member Apr 27, 2013 13,213 13,251 Apr 4, 2017 #3 MKWEPA KODI said: Hahahaha hao wazee sio wa kuchezea, ccm walichanganyikiwa Click to expand... Sio wa kuchezea kivp? Wakat wao ndio wamekwisha kabisa ..
MKWEPA KODI said: Hahahaha hao wazee sio wa kuchezea, ccm walichanganyikiwa Click to expand... Sio wa kuchezea kivp? Wakat wao ndio wamekwisha kabisa ..
kipara kipya JF-Expert Member May 2, 2016 18,611 23,067 Apr 4, 2017 #4 Wanatakiwa kulaaniwa ndio walioididimiza nchi hii kila kitu ilikuwa ndioooo
GIUSEPPE JF-Expert Member Dec 31, 2011 5,239 6,225 Apr 4, 2017 #5 Huyo wa kwanza kulia kwangu Bwana Vuai Nahodha kapotelea wapi huyu kwenye siasa za unguja