Kwa hakika hakuna msanii ambaye amepata kuwa makini kwenye kazi yake kuliko Peter Msechu. Big up sana Kaka, umeshatoa wimbo wa pole kwa Marehemu Mhandisi Gissima.
Umetisha sana, kwako wewe unasubiria msiba tu ndo tupate kusikia sauti yako ya maombolezo Tanzania. Kwenye maafa ya Hanang haukupoza damu ukatifariju mapema sana. Kwa hakika umejitafuta umejipata.
Huyu mpumbavu Nyamhanga siye ndiye kuna mada inazunguka humu jukwaani gari iliyomuua ni moja wapo wa ganji alizopewa na wachina ili apitishe zabuni mbalimbali za tanesco kwa kampuni yao.
Then anapokufa mtu kama huyo sisi kama taifa tunasikitika nini huo msiba waachwe wasikitike aliokuwa anawalisha wasitushirikishe.