W welding1682 JF-Expert Member Joined Aug 20, 2019 Posts 2,229 Reaction score 4,834 Jun 11, 2023 #1 Huyu mwamba namuona sana kwenye mapambano mpaka ya nje ya nchi lakini sioni hata waandishi wa habari wakiongelea habari zake nini tatizo, kama Kuna anayemjua zaidi atuwekee hapa!
Huyu mwamba namuona sana kwenye mapambano mpaka ya nje ya nchi lakini sioni hata waandishi wa habari wakiongelea habari zake nini tatizo, kama Kuna anayemjua zaidi atuwekee hapa!
makedonia JF-Expert Member Joined Nov 17, 2014 Posts 4,338 Reaction score 3,618 Jun 11, 2023 #2 Mada maugo bado yuko kwenye ndondi....!!!
makaveli10 JF-Expert Member Joined Mar 27, 2013 Posts 35,831 Reaction score 103,927 Jun 11, 2023 #3 Maugo kaishajichokea, we toka enzi za kina mashali huko.. Nyingine njaa tu.
GIRITA JF-Expert Member Joined Jul 4, 2016 Posts 4,505 Reaction score 5,953 Jun 11, 2023 #4 Mada Maugo Ni wa kitambo.