min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 8,408
- 17,143
Mimi ni kibosho ila kwa babu zangu wakubwa ni machame hata mbuzi ikichinjwa lazima ivuke mto, iv vitu sisi wenyewe tu ndio tunaelewaWachaga ni wamoja wanafanana
Majina
Aina ya chakula
Pombe
Mila na desturi
Maumbile
Nk
Nb wanapishana kidogo Sana Sana ila wanasikikizana Kwa 98%