Kinana afichua mbinu za kikundi cha UKAWA katika ziara Mkoani Manyara

Si mmesema anaenda kukagua utekelezaji wa ilani ya CCM? Sasa ya UKAWA yanatoka wapi tena? Hivi na wewe, utaacha lini kutumia Mekako na Diprosoni na maji ya betri?

Kweli UKAWA ndiyo habari ya mjini.
 
Yaani wewe bongolala kweli nani kasahau uhalifu wa huyu msomali kwa tembo wetu.......?? Pocha ni pocha tu asitusahaulishe machungu ya ndovu wetu aisee
Ndugu, Watanzania walio wengi hawatambuani kwa kutumia makabila, otherwise utakuwa unasumbuliwa na fikra za kibaguzi ambazo kwa sasa dhambi yake inavitafuna baadhi ya vyama vya siasa mpaka vimeamua kulikimbia jina lake linalotambuliwa na msajili wa vyama vya siasa na vimeamua kujificha kwenye mwanvuli wa kikundi kinachoitwa UKAWA,
 
Si mmesema anaenda kukagua utekelezaji wa ilani ya CCM? Sasa ya UKAWA yanatoka wapi tena? Hivi na wewe, utaacha lini kutumia Mekako na Diprosoni na maji ya betri?

Kweli UKAWA ndiyo habari ya mjini.
Ndugu, Ni kweli UKAWA ni habari ya mjini ndiyo maana hata viongozi wa hicho kikundi wanaenda mijini pekee kufanya mikutano.

CCM ni habari ya Kijijini na ndiyo maana viongozi wake wako vijijini wakihimiza maendeleo ambako more than 70% ya Watanzania wanaishi.

Mikutano ya hadhara ni moja ya sehemu ya ajenda katika ziara za viongozi wa CCM.
 

Imeaminiwa na nani mpuuzi wewe? Yapo wapi mapendekezo ya tume ya Jaji Nyalali au Kisanga yaliyofanyiwa kazi ili kuweka mazingira sawa na ya haki kiushindani? Kama mnakubalika hivyo kwa nini miaka nenda rudi munaogopa kuwepo tume huru ya uchaguzi??? Kama huwa mnakubalika inakuwaje mwahadae wananchi hasa vijijini wasio na uelewa kwa wali,kanga,tshit,vilemba vya kijani na kununua shahada zao ili wasipige kura??? Mmezoea vya kunyonga vya kuchinja hamviwezi!
 

Kinana is talking the reality and the reason for CCM being against three tier country system of governments. Unfortunately he pimp himself and his party in the thought that they will lead in the Union governmen, teh teh teh. How come if the majority would have given the opposition the leadership to the federal states and not the federation itself? Obviously the Federal Government will be having a GNU structure.

Hongera Kinana for revealing the 'secret' why CCM does not want 3 government system!!! :clap::clap: Ritz, FaizaFoxy, mfumo, Polite
 
Last edited by a moderator:
Nape hujambo povu linakutoka
 
Ukawa ni ugonjwa Wa fikra kila siku wanatoka na kiroja kipya ni watu wanaowadaa watanzania hawana lolote


Sasa ndugu mbona wana ccm wote ni maziro brain hivi? Hebu kama wewe nawe hutumii tumbo na makalio kufikilia ni mbinu gani alizofichua hapa huyu mtaalamu wa twiga na tembo? CCM kuanzia baba,mama,mtoto mpaka kitukuu wezi,ukoo wa panya
 

The reason and only reason for Tanganyika, or rather CCM, to keep on refraining Zanzibar to be sovereign is and will stiil remain as recently preached in the church by our dear Mr. Lukuvi. Nothing more nothing less.

Everything else is just another reason.
 

Last time I checked I still had my freedom of expression!
 
Ndugu, mimi kuwa mpuuzi hakuondoi ukweli kuwa CCM ina wabunge zaidi ya 250 wanaotambuliwa kisheria ambao kwa sasa wanatunga sheria ambazo ni lazima uzitii ukiwa nchini na kuendesha maisha yako ya kila siku ndani ya sheria hizo.

Haya mambo mengine ni kelele tu za kisiasa ambazo mtu yeyote anaweza kuzungumza kulingana na utashi wake.

CCM haiingii kwenye chaguzi peke yake na kwa mantiki hiyo, huwezi kusema mazingira hayako sawa wakati kuna vyama vinakubaliana na political playing field katika chaguzi.
 
Kinana atawanyoosha tu make wanajifanya wamepinda lakini kwa kinana visilani vitawaisha hata iweje hili taifa siyo la kupotoshwa na kuchezewa na ukawa ni tifa la watu wanaojua wanafanya nini.
 
Hivi huyu Mbunge wa Babati aliyeshika hicho kifaa eti anajenga ni kweli huwa kinashikwa hivyo? imefikia wakati sasa CCM muache usanii kwa kutumia picha


Kinana akiasaidiana na Mbunge wa Babati Mjini, Kisyeri Chambiri kujenga jengo la Zahanati ya Malangi, katika Kata ya Maisaka, Babati.
 
Si mmesema anaenda kukagua utekelezaji wa ilani ya CCM? Sasa ya UKAWA yanatoka wapi tena? Hivi na wewe, utaacha lini kutumia Mekako na Diprosoni na maji ya betri?

Kweli UKAWA ndiyo habari ya mjini.
Hawa ukawa wanavuruga mipango ya maendeleo hivyo lazima wakemewe make kutwa wanaandamana na kuleta usumbufu kwa wafanyabiashara.
 
Unataka ashike kama unavyoshika bakuri la gongo.
 
Sikutegemea...! Kumbe kinana bado mtoto mdogo sana yaani hajui hata kazi za katiba katika inchi. Hebu tujaribu kufuta katiba yetu ya sasa na tuishi bila katiba halafu tuone kama itawezekana. Kinana ni mpumbafu na wote wanaomsikiliza ni mbumbumbu. Huyo kinana akiwa rais anaweza kufuta katiba maana hajui umuhimu wake mjinga mkubwa huyo. Yaani ndivyo anavyowadanganya? Na mkijaribu kuyafuata maneno yake tu wooote mtakuwa maahila.
 
Kwa watu wanaoelewa maana ya katiba na umhimu wake kwa nchi changa kama zetu na zenye wizi na ubadhirifu mkubwa wa mali ya umma, hawawezi kuzunguka nchi nzima wakiwahubiria wananchi kwamba hatuhitaji katiba na eti katiba haileti maendeleo. Naona mbinu hii ya kutumia uelewa mdogo wa watz wengi kama kigezo cha kupata short cut ya mambo. Ni kweli katiba haileti maendeleo direct lkn imagine katiba yenye sheria ambazo hazina meno; Fedha za umma zikiibwa hakuna wa kushtakiwa, fikiria fedha za rada pamoja na UK kutanabaisha kweli kulikua na wizi na chenji ikarudi lkn hakuna mtu alishughulikiwa vilivyo, <br><br>Katiba haileti maendeleo directly lkn fikiria watendaji wasiowajibika mpaka mambo yanaharibika huku wakisababisha hasara kubwa kwa nchi lkn hakuna jinsi, yote sawa tu, fikiria tume ya uchaguzi inayoteuliwa na mtu mmoja ambaye nae ni mwanasiasa, akiamua kuweka hisia za chama chake ndani yake itakuwaje.<br>Hii kubadilisha mawaziri na watendaji wa taasisi kila kukicha kisa utendaji mbovu, hakuna sheria za maadili ya uongozi wa umma ndio umaskini wenyewe, imagine hao wanaotemwa nafasi zao wanalipwa stahiki na mafao yao, hivi idadi hii kubwa hivi ya wanaohitaji haya yote sio umaskini????? sherehe tu za kuapishwa kwa watendaji kama mawaziri mbona ni umaskini tosha tu, hiyo bajeti mbona inatosha kununua madawati shule moja sio mbaya. Kwa kifupi katiba mbovu inajenga mfumo mbovu, mfumo mbovu unajenga watu wabovu, watu wabovu wanafanya kila aina ya uovu ndani ya nchi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…