Kinamama mjiandae kusachiwa mikoba

Kinamama mjiandae kusachiwa mikoba

gwabata

Member
Joined
Feb 21, 2016
Posts
32
Reaction score
22
Haya Sasa Naona lile wazo la Naibu waziri aliepiga marufuku kuingia na simu zenye kamera wodini amesahamu kuwaandaa kinamama kupekuliwa mikoba yao pindi waingiapo na kutoka..!
Kasahau kutangaza ajira kwa watu watakaowapekua watu wanaoingia na kutoka, tukae chonjo wenyevyeti kugombania nafasi hizo..!
We shangaa tu
 
Back
Top Bottom