Daby
JF-Expert Member
- Oct 26, 2014
- 33,648
- 75,732
Asalaam.
Naona vijana siku hizi wanahaha kushawishi wanawake, nyuzi za misaada ya kutongoza zimezidi.
Sio tunamoishi hadi humu tunaposhinda kubadilishana mawazo wengi tunatongoza tunakataliwa. Muda mwingine unakuta labda gia tulizoingia nazo sizo. Sehemu inahitaji gia kubwa wewe unapush ndogo.
Ok, kinadada tuambieni mnapenda kutongozwa saana kwa meneno au vitendo. Wewe huwa unalegea na kuukubali mtongozo haraka ukitongozwa saana kwa vitendo au maneno.
Tuambieni tubadilisha gear angani.
Naona vijana siku hizi wanahaha kushawishi wanawake, nyuzi za misaada ya kutongoza zimezidi.
Sio tunamoishi hadi humu tunaposhinda kubadilishana mawazo wengi tunatongoza tunakataliwa. Muda mwingine unakuta labda gia tulizoingia nazo sizo. Sehemu inahitaji gia kubwa wewe unapush ndogo.
Ok, kinadada tuambieni mnapenda kutongozwa saana kwa meneno au vitendo. Wewe huwa unalegea na kuukubali mtongozo haraka ukitongozwa saana kwa vitendo au maneno.
Tuambieni tubadilisha gear angani.