Kinacho endelea Arusha mpaka sasa nimeshindwa kukiamini Lema kila kona hatakiwi mfano sombetini

LEMA tulishamueleza aina ya siasa zake hawezi kudumu mchezoni. akabisha, ona sasa anadharaulika mpaka na wavuta bangi.

Unamcheka mwenzio aina ya siasa anadharaulika mbona we hukufikiria aina ya ID yako maana na we unadharaulika humu JF utajiitaje msalani?????
 
pole yako,

naona dose za lema zinakuingia kwa usahihi hadi unamuota hafa mchana.

endelea kutulia tuli ukombolewe wee usiyejitambua
 
Uyu mleta mada hajielew vichaa nmezoea kuwaona wanavua nguo wengine wanabeba makopo ,makaratas, nk ila kichaa cha huyu mleta mada n kipya sjaonaga sehemu yoyote inawezakuwa hichi n kichaa cha kidigitali sababu hata mirembe hawawezi kumtatulia tatizo
 
Propaganda zina namna yake ya kufanya !

Wenzako huwa wanajaribu kueleza kitu ambacho kina uhalisia, halafu ndio wanaweka na propaganda zao ndani ili kuweza kupata wafuasi, Wewe ndugu unafanya kinyume....

Nakupa pole !

July 2013, ilikuwa 4-0, subirini 1-0.....

Watu wamechoka Usanii wenu kazi yenu ni kucheza Disco hiyo inaeleweka wala haina mjadala
 
quote_icon.png
By hoyce
Kwa hiyo Lema ndo mgombea Sombetini, au?
Sio mgombea lakini cha kushangaza ana kiherehere kuliko mgombea mwenyewe, hata wakati wa kumnadi bananga, LEMA anatumia lisaa limoja na Bananga anapewa dakika kumi.
 
Ndugu wana jf kulikuwepo na kauli za hapa na pale kuwa Arusha ni ngome ya Chadema jambo hili halikuwa na ubishi hata kidogo ulikuwa ukivaa nguo ya ccm Arusha unazomewa na kupigiwa miluzi kama mbwa

Hii ilitokana na vijana kuwa naimani kubwa sana na Mbunge Lema kila siku zilivyozidi kwenda watu wamekuwa wakimwona Mbunge ni msanii na kimsababisha kupoteza umaarufu wake ilikuwa hapa mjini Lema akisimama mahali pana jaa leo akisimama sidhani kama hata salamu anapata

Mchakato wa sombetini umemdhalilisha sana Lema baada ya mkutano wa ufunguzi ambao waliwakusanya watu toka Arusha na meru baada ya ufunguzi Chadema imekuwa ikifanya mikutano yake ambayo imekosa mvuto kabisa haswa Mbunge watu wamekosa hamu ya kimsikiliza maana hana jambo lolote kichwani kwake la kimaendeleo

Lema jitaidi kama utaweza kurudisha imani na imaarufu uliyo upoteza hapa mjini kama ccm kampeni sombetini wamewachia vijana wanakuhenyesha hivyo mpaka umeamua kuitisha maandamano lazima ujihoji tena kama unasifa za kuendelea kuwa wepo chuga

Hadi mbuzi wanatoa POST kweli DIGITALI ni noma.
 
Back
Top Bottom