Kwanza nianze kwa kucheka
Maana ni issue inayowatoa watu mapovu sana.
Kuna hii hulka imeanza ya baadhi ya watu Maarufu kukimbilia nchi jiran na kuoa mabinti wa huko, ikiwa hapa kwetu tuna mabinti kibao, ilianza kidogo kidogo lakin sasa naskia hata watu wasio maarufu wakihamasishana kwenda kutafta majiko nchi jirani...
Najiuliza sana Dada zetu wa kibongo kwani mnafeli wapi??
Sent using
Jamii Forums mobile app