Gwanggaeto the Great
JF-Expert Member
- Apr 14, 2018
- 872
- 1,893
Kiongozi wa Korea Kaskazini Azuru China.
North Korean Supreme Leader Kim Jong Un amezuru China kwa Siri ambapo Kim amekutana na Raisi wa China Xi Jinping.Viongozi wote wavili wamekutana Kaskazini Mwa China katika Mji wa Dalian.Hata hivyo uwepo wake Nchini China ulitangazwa na Shirika la Xinhua mara baada ya Kim Kuondoka katika Nchi hiyo .Kim alionekana akiwa na Xi katika Beach ya Dalian Hataivyo Shirika Xhihua halikueleza kilichojadiliwa na Viongozi hao.Dalili za Kim Kuwepo Dalian zilikuja pale Ulinzi ulizozidishwa mara dufu huku Huku Private Jet ya N.K kuonekana huko Pengine huu ukawa utangulizi wa Mkutano Kati ya Kiongozi wa Korea ya Kaskazini Kim Jong Un na Raisi wa Marekani Donald Trump hii ni Mara ya pili kwa Kim kutembelea China katika kipindi cha Wiki 6 alipotembelea Mji mkuu wa China Being ambapo mkutano huo ulikuwa utangulizi kabla ya kukutana na Moon Jae In Raisi wa Korea Kusini.
Chanzo ALJAZEERA
North Korean Supreme Leader Kim Jong Un amezuru China kwa Siri ambapo Kim amekutana na Raisi wa China Xi Jinping.Viongozi wote wavili wamekutana Kaskazini Mwa China katika Mji wa Dalian.Hata hivyo uwepo wake Nchini China ulitangazwa na Shirika la Xinhua mara baada ya Kim Kuondoka katika Nchi hiyo .Kim alionekana akiwa na Xi katika Beach ya Dalian Hataivyo Shirika Xhihua halikueleza kilichojadiliwa na Viongozi hao.Dalili za Kim Kuwepo Dalian zilikuja pale Ulinzi ulizozidishwa mara dufu huku Huku Private Jet ya N.K kuonekana huko Pengine huu ukawa utangulizi wa Mkutano Kati ya Kiongozi wa Korea ya Kaskazini Kim Jong Un na Raisi wa Marekani Donald Trump hii ni Mara ya pili kwa Kim kutembelea China katika kipindi cha Wiki 6 alipotembelea Mji mkuu wa China Being ambapo mkutano huo ulikuwa utangulizi kabla ya kukutana na Moon Jae In Raisi wa Korea Kusini.
Chanzo ALJAZEERA

