Ndugu wanajanvi, nahitaji kufanya kilimo cha mpunga cha umwagiliaji, naomba mwenye habari za kilimo hicho ikiwa ni pamoja na jinsi ya kupata mashamba, gharama za ukodishaji, gharama za kilimo na soko kama zinapatikana nitashukuru sana.
Aksanteni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.