Kilimo chake kikoje kwa ujumla Mfn,Miezi yakupanda,inachukua muda gani hd kukomaa,matunzo ya mazao kwa ujumla yakiwa shambani,madawa,mbolea n,k Pia soko lake ni hapa tz or nje ya nje Bei yake nivipi,,,! Eka 1 unavuna kiasi gani ikiwa utafata ushauri wakitaalam Kwaanejua hii maneno amwage habari Thnx!