Kilichomwangusha Sumaye chatajwa

Hasomi alama za nyakati. Akae tu ale pensheni yake. Mwisho wa yote atapata aibu tu
 
tupo kisiasa hapa bwana..jadili kuhusu kupigwa chini kwa sumaye na anavolialia kwamba lowasa ndo reason eti!

Amesema ataitisha mkutano na wanahabari!
Nna hamu ya kumsikia akiropoka.
Nitam under rate akithubutu kuropoka eti amepigwa chini na kambi ya Lowassa
 


hivi Don Lowassa anataka kubaki peke yake kwenye chama na vibaraka tu wa ndiyo mzee, ndiyo mzee...na hii itaisaidia vipi CCM na taifa kwa ujumla. Huyu jamaa ni mfano halisi ya ubinafsi uliokirithi kwenye uongozi.
 
Amesema ataitisha mkutano na wanahabari!
Nna hamu ya kumsikia akiropoka.
Nitam under rate akithubutu kuropoka eti amepigwa chini na kambi ya Lowassa
khaa ngoja tumsikilizie
 
Siasa ni kazi ya Makundi na hakika ni kazi ya fitna kwelikweli...sasa Sumaye ni mwanasiasa wa aina gani asiyejua ukweli huu?Hakuna huruma kwenye siasa bana,na wala hakuna kulegealegea eti kura zitakuja tu,EBO!
 
Smile usimjaji mtu ukawa na jawabu kwa wote wa jinsia hiyo, hapo utakuwa hujatutendea haki !
 
Last edited by a moderator:
Smile siyo uzinzi, uzinzi ni kua kama kuku...mimi mstaraabu, a true gentleman, a quintessential 21st century african man. Napenda tu wanawake for all they are.
 
wakati Sumaye anapewa nafasi ya kuongea harafu akaanza kuwaubili watu kuwa akishinda atapambana na wala rushwa,moja kwa moja nilijua kuwa atashindwa.maana baada ya kutamka maneno hayo nliona watu wanaanza kutazamana kama kuonesha ishara filanlkn kwa haraka sana watu wle nilielewa kuwa walikuwa wakiteta kuwa mtu huyu akiingia ,adarakani si ndo atatubania riziki yethii ni kwa sababu msing wa ccm ili uwe kiongozi ni lazma uwe tayari kuwabeba wala rushwa zaidi ya hapo huwezi kushinda kama misingi yako ni kuzuia rushwaviongozi wengi wa ccm wameingia madarakani kwa njia ya rushwa wala si kwa misingi bora ya siasa za wagombea husikawe ukitaka kuwa kiongozi kupitia cha hiki cha mafisadi inakibidi uwe na katiba yako binafisi ya kuwatetea wala rushwa,hapo kila kitu kitakuwa sawa ktk suala zima la uongozi
 
jamaa kamis u big boss,yalikuwa malengo yake kuwa prezdaa aftr mkapa bt timing haikuwa mwake ashukuru alimaliza miaka kumi wenzie waliangukia pua katikat ya first term chezeya magamba weye ki2 rotten mbaya
 
hivi hizi juhudi za kutaka u-Nec ccm ni za nini wakati chama chenyewe kinakufa rasmi mwaka 2014?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…