Ja60
JF-Expert Member
- Aug 5, 2012
- 277
- 180
Katika uchaguzi huu nionavyo mimi ni kwamba watu wengi hawasikilizi sera za wagombea bali wanashabikia vyama vyao vishinde haijalishi ni nani atashinda kama anatoka chama chake kwake ni burudani ndio maana tunashindana kujaza viwanja vya kufanyia kampeni.