Kila siku ye anataka tu, Mchana akirudi kazini usiku.....

wanawake wa Bukoba wanahimili hiyo
michezo kwani katerero ndio ngumu kuliko hako ka mchezo
kwa kuchovya na kuchomeka kaa chamdarua ya malaria
Hii kitu naisikia sana lakini nimeshindwa kuelewa inakuwaje!
 
E bana hiyo red siifahamu naomba ufafanuzi please.
 

Tafadhali bwana.
Hebu acha kutu judge wanaume wote kwa ulegelege wa bwana wako.
Pita njia hii na kwake hautarudi.
 
mfano ungekuwa ni wewe ungelimudu hilo jembe,maana tatizo hapa sio chips kuku tatizo hapa ni kufanya ngono kama ubwabwa.
 
Ngono,,NGONO, Ngono,NGONO,Ngono,NGONO,Ngono,NGONO,NGONO,Ngono,NGONO,Ngono,NGONOOOOOOOOOOOOOO!!!
 
Ha ha haaa najua unataka ujiandae kwa viroba na Viagra
wenzenu walikuwa hawana maandalizi kama hayo.

Acha hizo wewe wengine mbona unachomoa kiaina??
hatutumii hayo makitu bhana tunayasikia tu.
 
Hata mie ningekimbia mwenzangu, kisa cha kun'zeesha mtoto wa watu?!
 


Huyo jamaa alikuwa anawabaka wake zake ndiyo maana walikuwa wanamkimbia. Sasa mtu kafika toka kazini wakati anaandaliwa chakula anataka ku-do kwanza? Hayo maandalizi kwa mwenzie aliyafanya saa ngapi? Na hiyo raha ya hiyo kitu hao wake zake wangeipataje? Inapaswa kuwa na kiasi, too much of anything is harmful kwa kweli.
Naona ni halali walivyomkimbia!!
 

Haya bhana Mcharuko nashindwa kukubishia kwa sababu usemayo ni kweli lakini umetudharau!!!!!
 
Last edited by a moderator:

•Haaaaaaaaaa umenikumbusha mbali sana! Moja tulikua na gari bovu miss kibao nadhani ni system ya kizaman carbulator ikizima tunanyonya kiwese tunamwagia juu ya kifuniko kutafuta levo haaa!
•pili wimbo wa Wagosi long sana kama kitu cha 2005 hivi,"wali jaa na mchuzi juu" yaani wali wa jana na mchuzi wa juzi,nyeti hiyo!
 
ndo yale yale ya NIMEZUNGUKA DUNIA NZIMA SIJAONA MWANAUME KAMA "YE....",WAkati kwangu hajapita
Kwenye vikao vyetu visivyo rasmi(Saluni n.k) tunasimuliana haya mambo
Wengi wana matatizo bana msitake kubisha watu wamelegea kuanzia mtaani
mpaka vitandani.

Legelege wanaume,Mtaani kitandani
acheni mimi niseme,sifa zao mdomoni
Umewaisha udume,wamebaki ishirini
Twawagombea wachache, wanaume walobaki.

Mkirua aliaanza, Kwa mbwembwe na majigambo
Mara tu alipoanza, Kajichokea kitambo
ukamuisha ujanja, ukawa mwisho wa Tambo
Twawagombea wachache, wanaume walobaki
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…