(1) viongozi wetu siyo wazalendo wanagawa rasilima za nchi bila kufata taratibu mwisho wa siku nchi inaingia katika matatizo
(2) wananchi tumebakia blah blah mdomo tu..ndiyo hata kama serikalI haitusaidi kutuwezesha lakini sisi kama sisi inabidi tu force wenyewe kupata tunachokihitaji kama ni ardhi, maeneo ya madini etc na sisi tunakuwa tuna miliki
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.