Sigara Kali
JF-Expert Member
- May 28, 2017
- 3,623
- 8,428
Sijajua nina mbegu kali sana, wananitegeshea au shida sijui ni nini. Kila demu ninayetoka naye tukiwa kwenye mahusiano zaidi ya mwezi haichukui muda anakuja na malalamiko nimempa mimba. Huwa najitahidi kukojolea nje ila mwisho wa siku naletewa malalamiko ana mimba
Nimechoka hii hali nafikiria njia nyingine ya kufanya ili nisiwape mimba kama wanavyodai. Wakuu nifanyaje kuepusha hizi kesi kesi za mimba kwa hawa mademu zangu?
NB: Siwezi kuacha kugegeda na condom sijui mara ya mwisho nimetumia mwaka gani.
Nimechoka hii hali nafikiria njia nyingine ya kufanya ili nisiwape mimba kama wanavyodai. Wakuu nifanyaje kuepusha hizi kesi kesi za mimba kwa hawa mademu zangu?
NB: Siwezi kuacha kugegeda na condom sijui mara ya mwisho nimetumia mwaka gani.